ziko sababu nyingi zinazoweza
kusababisha hali hii ya kutokea kwenye kinywa, lakini chanzo chake kikubwa ni
maradhi yanayosababishwa na fangasi.
Maradhi ya fangasi ya kinywa huweza
kuathiri koo pia. Vijidudu vinavyoathiri hujulikana kama oral candidiasis na wale wanaoshambulia koo huitwa oesophageal candidiasis.