.

.

UNAITAMBUA FANGASI YA MDOMO?,SULUHISHO LIKO HAPA


ziko sababu nyingi zinazoweza kusababisha hali hii ya kutokea kwenye kinywa, lakini chanzo chake kikubwa ni maradhi yanayosababishwa na fangasi.


Maradhi ya fangasi ya kinywa huweza kuathiri koo pia. Vijidudu vinavyoathiri hujulikana kama oral candidiasis na wale wanaoshambulia koo huitwa oesophageal candidiasis.

machapisho muhimu

Search

Pages

Pages

Inaendeshwa na Blogger.